Isaiah 28:18-19

18 aAgano lenu na kifo litabatilishwa,
patano lenu na kuzimu halitasimama.
Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba,
litawaangusha chini.
19 bKila mara lijapo litawachukua,
asubuhi baada ya asubuhi,
wakati wa mchana na wakati wa usiku,
litawakumba tangu mwanzo hadi mwisho.”

Kuuelewa ujumbe huu
utaleta hofu tupu.
Copyright information for SwhNEN